DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Afro - Les Wanyika



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Afro Lyrics


Afro, Afro mama oh oh
mtoto wa Sagana eeh mama
salamu zangu nakutumia popote ulipo uzipokeenisalimie ndugu na wazazi wako mama eeh
popote walipo, Afro
mimi sijambo lakini mawazo tele moyoni
nina wasiwasi, mmh
nikikumbuka tulivyowachana mara ya mwisho
uliniahidi, Afro
tungeonana mapema siku zinapita bibi eeh
mbona sikuoni, mamaAfro mama, eeh yao
mtoto wa Sagana, eeh eeh
kaa ukumbuke, eeh
penzi hugeuka, eeh
leo kwangu kesho kwako, mama eeh
utanikumbuka, eehAfro,
mtoto wa Sagananisalimie ndugu na wazazi wako mama eeh
popote walipo, Afro
mimi sijambo lakini mawazo tele moyoni

nina wasiwasi, mmh
nikikumbuka tulivyowachana mara ya mwisho
uliniahidi, Afro
tungeonana mapema siku zinapita bibi eeh
mbona sikuoni, mamaAfro mama, eeh yao
mtoto wa Sagana, eeh eeh
kaa ukumbuke, eeh
penzi hugeuka, eeh
leo kwangu kesho kwako, mama eeh
utanikumbuka eeh, yaoAfro wa Kirinyaga, Sagana eeh, eeh
usiniweke pembeni mama, aah
ingawa wako wengi wazuri, mami
lakini nimekuchagua wewe, eeh
tabia zako sawa na sura yako,
nimeridhika kuwa na wewe, eeh
Sagana unipeleke mama, ooh
nikawaone wazazi wako mama
na TZ pia tufike mami
ukawaone baba na mama, eeh
mengine mengi sisemi mama, aah
uamuzi nakuwachia wewe, eeh
mwisho nakuombea salama, Afro
mpaka siku tutapoonana, mamioh, Magara
Nicholas Magara
mtoto wa Kisii
Afro
I love you mama
hatima basi

Enjoy the lyrics !!!