damnlyrics.com

Asante Bwana

Chorus

Asante bwana kwa wema wako Ooh ooh

Asante bwana kwa pendo lako.*2

Verse 1

Nilipotelea dhambini ukaja kunitafuta,

Ulinikuta gizani ukaniweka nuruni, asante.(Back to chorus)

Verse 2

Nilikuwa mtumwa wa shetani ukaniweka huru,

Nilizama matopeni ukaniosha niwe safi, asante. (Back to chorus)

Verse 3

Bwana umenipa haki kuitwa mwana wa mungu,

Umenipa roho wako awe mwalimu wangu mwema, asante. (Back to chorus)

Verse 4

Bwana nikifika kwako kama ulivyo niahidi,

Nitaimba sifa zako kwa furaha nikisema, asante. (Back to chorus)

Lyrics Submitted by Vincent Chai

Enjoy the lyrics !!!