DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Asante Bwana - Yusto Onesmo



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Asante Bwana Lyrics


Chorus
Asante bwana kwa wema wako Ooh ooh
Asante bwana kwa pendo lako.*2
Verse 1
Nilipotelea dhambini ukaja kunitafuta,
Ulinikuta gizani ukaniweka nuruni, asante.(Back to chorus)
Verse 2
Nilikuwa mtumwa wa shetani ukaniweka huru,
Nilizama matopeni ukaniosha niwe safi, asante. (Back to chorus)
Verse 3
Bwana umenipa haki kuitwa mwana wa mungu,

Umenipa roho wako awe mwalimu wangu mwema, asante. (Back to chorus)
Verse 4
Bwana nikifika kwako kama ulivyo niahidi,
Nitaimba sifa zako kwa furaha nikisema, asante. (Back to chorus)
Lyrics Submitted by Vincent Chai

Enjoy the lyrics !!!