• Asubuhi kumepambazuka na giza latoweka, na viumbe vyote vyafurahi na kusifu Jina Lake.
o Na nuru yake yapekee yaja, (yaja) Na mchana ulio mwema na upepo mzuri huu ni kazi yake (mwokozi) bwana wetu (Yesu)
• Kumbuka kuanza na mwokozi kwa kila utendalo, umshukuru Mungu peke yake kwa yote alo tenda.
o Na nuru yake yapekee yaja, (yaja) Na mchana ulio mwema na upepo mzuri huu ni kazi yake (mwokozi) bwana wetu (Yesu)
• Sasa ndugu yangu jiulize kwamba wamjua Yesu, yeye ni mwema na mwaminifu kwa kila uombalo.
o Na nuru yake yapekee yaja, (yaja) Na mchana ulio mwema na upepo mzuri huu ni kazi yake (mwokozi) bwana wetu (Yesu)
Enjoy the lyrics !!!