DamnLyrics - The center provides all the lyrics


     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Asubuhi Yetu Lyrics


• Asubuhi kumepambazuka na giza latoweka, na viumbe vyote vyafurahi na kusifu Jina Lake.
o Na nuru yake yapekee yaja, (yaja) Na mchana ulio mwema na upepo mzuri huu ni kazi yake (mwokozi) bwana wetu (Yesu)
• Kumbuka kuanza na mwokozi kwa kila utendalo, umshukuru Mungu peke yake kwa yote alo tenda.
o Na nuru yake yapekee yaja, (yaja) Na mchana ulio mwema na upepo mzuri huu ni kazi yake (mwokozi) bwana wetu (Yesu)
• Sasa ndugu yangu jiulize kwamba wamjua Yesu, yeye ni mwema na mwaminifu kwa kila uombalo.
o Na nuru yake yapekee yaja, (yaja) Na mchana ulio mwema na upepo mzuri huu ni kazi yake (mwokozi) bwana wetu (Yesu)

Enjoy the lyrics !!!