Chali Ya Ghetto (feat. Rayvanny) - Khaligraph Jones
| Page format: |
Chali Ya Ghetto (feat. Rayvanny) Lyrics
yeah wahenga walisema kizuri hujisell na kibaya hujitembeza
so i have been doing it well,ndo nieke chakula kwa meza
you thought i was thinking as hell,but me am a teen will never
so ill be do keeping it real,mbaka wanieke kwa jeneza
so bado ndo nachapa,so bado hapo ndo utanipata
so vako ni jasho imefungwa milango
ndo sahii hii collabo matata
nahamisha mother kayole,mi nampeleka runda
siz ameshamada colle,na mi nishabuy kanyumba
ni hizi mangoma natunga, ni vle matym hubidi
nachanganya rap na rhumba,naiweka mbaka na mobidhi
nipige video muone kwa tv,nishike nairobi na pia na jiji
akili ni nywele nina zangu wacha tucompare tuone nani gwiji
buda alidedi akaniacha solo
nikashindwa ni njia gani nitafollow
nikaanza kuslang makoro
nikaanza kuvaa magoro
nikaacha kujam na soro
nikaanza kuhang na collo
nikaanza maslang za yolo
nikaanza kukam na mchoro
Lyrics Submitted by para.graf