damnlyrics.com

Chuki

Na na na na ...Verse 1

Ni sababu gani mwanitenda hivi

Uwongo mwanena kunihusu mimi

Hamnifahamu hamjui

Chenye nafanya maishani

Mwangu nyumbani

Mwangu nyumbani

Mijidai eti nyie marafiki

Kumbe nia zenu zilikuwa kundi

Kunitenganisha na mpenzi

Wa roho yangu na kuniacha

Mashakani, taabaniChorus

Ni chuki, ndio na hisi

Nikiwaza jinsi

Mlivyojitolea kuniudhi

Bila matokeo yaaniNi chuki, ndio na hisi

Nikiwaza jinsi

Mlivyojitolea kuniudhi

Bila matokeo yaaniVerse 2

Mambo yenu mi sishughuliki nayo

Mnavyoishi mimi sina hoja nayo

Kinachonihusu si lazima

Mkifahamu na kushinda

Mkipiga domo

Mkipiga domo

Mlichotenda kwangu kweli hakifai

Kiwango cha unchungu mlinipa yaani

Sina heshima kwenu tena

Ukuta wa chuki mlijenga

Kati mi nanyi

Kati mi nanyiChorus

Ni chuki, ndio na hisi

Nikiwaza jinsi

Mlivyojitolea kuniudhi

Bila matokeo yaaniNi chuki, ndio na hisi

Nikiwaza jinsi

Mlivyojitolea kuniudhi

Bila matokeo yaaniBridge

Na na na na

Ni shida kuamini yaani

Na na na na

Kiwango cha uchungu mlionipa

Na na na na

Heshima kwenu mimi sina tena

Na na na na

Basi chuki ndio mimi nahisiChorus

Ni chuki, ndio na hisi

Nikiwaza jinsi

Mlivyojitolea kuniudhi

Bila matokeo yaaniNi chuki, ndio na hisi

Nikiwaza jinsi

Mlivyojitolea kuniudhi

Bila matokeo yaani

Enjoy the lyrics !!!