Dini Iliyo Safi - Kinondoni Revival Choir



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Dini Iliyo Safi Lyrics


Dini iliyo Safi mbele za mungu wetu ku watunza yatima Na wa jane, siku ile ya mwinsho yesu ata simama Na ku watenga watu kwa ma kundi, wa liopo kume niwale wacha mungu watunza wayatima Na wa jane waliopo ku shoto Ni wale wanadamu waki Fanya uzizeni awa jane(×2)
Sop" - wakati mulipo tendeya masikini mulini tendeya Mimi
-wakati mulipo tendeya wa jane mulini tendeya Mimi
-wakati mulipo tendeya yatima mulini tendeya Mimi
-Wakati mulipo tendeya wa gonjua mulini tendeya Mimi(×2)
Ts" Ni Mimi haaa Ni Mimi
Bs"Ni Mimi Ni Mimi ,...
Ts" Ni Mimi haaa Ni Mimi
SKETCH
Bs" Ni Mimi Ni Mimi
Ts" Ni Mimi haaa Ni Mimi

Lyrics Submitted by Pascal famba

Enjoy the lyrics !!!