Dodoma 2 (feat. Harry Kimani) - King Kaka



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Dodoma 2 (feat. Harry Kimani) Lyrics


[H_art The Band]
Hello… Hello… Rabbit! Hello… Hello
Mmm..na na na na Mmmmmm..mmm..aaaaaah..aaahhh..
Ulienda..Uliendaaa
Na vile naonelea Hizi picha ntabaki nazo Akilini Betty
Uliendaa..Ulienda Natamani Niweze Amka kutoka ndotoni nigeuze story
[VERSE 1: King Kaka]
Kwanini umerudi? Si ungeenda kabisa Mtaa gani unaenda
Niko willing kulipa visa Hivo ndo nilikuwa najichocha moyoni
Even though nilikuwa nakuota usiku zote ndotoni
Vile umerudi inadhani ni sikukuu
Hatukuzaa na wewe so majuto sio mjukuu
Ngoja,najuaje wee ni wewe Na mimi ni mimi?
Ungenigeuza ratili ndio nijue haunipimi
Mbinguni uskiza wakati sinner Ataanza kuongea
Akaniambia nitoke haraka juu nilikuwa na sakwa na wale Wachagga kuhusu zile chapa
So mimi huyo Mbio bila ata Hoja , Mbio hadi Koja
Fare ni soo moja hii tension yote,nikachapa njugu na soda

Dere si uende Betty alinishow nishuke hiyo mtaa hapo Kimende Kwa Njia najikashifu,
Mbona anipende
Kufika napata ile number ata ni mteja Kwanini tena,tunacheza chenga
Na Huyu Betty Ameenda?nkt
[CHORUS: H_ART the BAND]
Ulienda(Uliendaaa)..Uliendaaa (U-li-ee-ndaa-aa) Na vile naonelea (aaaaaaahhh) Hizi picha ntabaki nazo (Betty) Akilini Ma Uliendaa (uliendaaa) Ulienda(U-lie-endaaaa) Natamani Niweze Amka kutoka ndotoni nigeuze story (Betty) Ulienda mbali We Be(Betty)Be(Betty) Be(Betty) Betty (Betty) Betty(Betty) Uliendaaaaaaaa Eee-Be(Betty) Betty(ulienda mbali wee) Be(Betty) (ulienda mbali we)Be(Betty) Be(Betty) Be(Betty Uliendaaaaaa)
[VERSE 2: King Kaka]
Ubaya batt yangu yangu inasema 2%
Nikiulizwa nafanya nini hapo nimetupa sense
Kivuli yangu siamini kila mtu suspicious
Fear ni dark room mahali negative zinadevelop
Patience yangu ikaisha na Betty akawa Kero
Hapo ndio nikaskia chuma baridi kwa mgongo
Akawhisper Turn around tu mdogo
Ile uoga nilikuwa nayo matumbo inatingikanga
Alikuwa my Betty kwa Ngepa na madigaga
Leta Simu yako na smile ni kaa tuko Sawa
Rabbit,jua ni vile nakupenda sana
Akarudisha gun,Akaiseti kwa mbosho Simu yangu akaichukua akapee a random shosho
Akadai ni love yetu iko Kwa test
Maswali baadaye ati tuingie kwa basi next
After 2NK kakakam Eldoret express
Since wale Wachagga pia wanataka kututenda
Wakafika Kimende wanapata tushaenda -Kitambo
[CHORUS]
Ulienda(Uliendaaa)..Uliendaaa(U-li-ee-ndaa-aa) Na vile naonelea(aaaaaaahhh) Hizi picha ntabaki nazo (Betty) Akilini Ma Uliendaa(uliendaaa) Ulienda(U-lie-endaaaa) Natamani Niweze Amka kutoka ndotoni nigeuze story(Betty) Ulienda mbali We Be(Betty)Be(Betty) Be(Betty) Betty (Betty) Betty(Betty) Uliendaaaaaaaa Eee-Be(Betty) Betty(ulienda mbali wee) Be(Betty) (ulienda mbali we)Be(Betty) Be(Betty) Be(Betty Uliendaaaaaa)
[VERSE 3]
Wacha vile Swali moja inakuanga mbesha Shigana
Nilikuwa nazo mingi ni ulimi imeshikana
Unaeza toa Monkey kwa Mgongo lakini circus bado iko
Ata ningejam aje,Love bado iko
Tukafika Kisumu Around 5.40 uchovu Vic Hotel tukabook Room 340
But alikuwa mtu mwingine tu Anaitwa Betty
Anafanana na Yule nilikuwa nimemdeady
After 10 minutes,Akadai hatuwezi Lala Hapa
Flight to Nai tukashika barabara sio Anasa
I drive to Mombasa
ako na hoodie na sport shoes ndio viatu
Wasiwasi yake na Simu kaa tatu
Can’t believe Ati ni yee alikuwa anadrive-
Drive me crazy tukafika sunrise
Do not disturb
Kwa mlango Mi nikalala
Akaanza Si tuongee na mi nishadoze
Namshow Betty Manze..Unanibore
Nikaskia Bonge la Bare (Betty Betty Gani Enda ukaoshe Choo Stupid)
[CHORUS]
Ulienda(Uliendaaa)..Uliendaaa(U-li-ee-ndaa-aa) Na vile naonelea(aaaaaaahhh) Hizi picha ntabaki nazo (Betty) Akilini Ma Uliendaa(uliendaaa) Ulienda(U-lie-endaaaa) Natamani Niweze Amka kutoka ndotoni nigeuze story(Betty) Ulienda mbali We Be(Betty)Be(Betty) Be(Betty) Betty (Betty) Betty(Betty) Uliendaaaaaaaa Eee-Be(Betty) Betty(ulienda mbali wee) Be(Betty) (ulienda mbali we)Be(Betty) Be(Betty) Be(Betty Uliendaaaaaa)
Lyrics Submitted by Brian Antoni Mogaka

Enjoy the lyrics !!!