damnlyrics.com

Hey!

Hey baby

Nataka kukuona

Sura yako inafanya roho inapona

Hey Kweli we ni malaika

Hao wengine nawaita kadhalika

Hey baby

Nataka kukuona

Sura yako inafanya roho inapona

Hey Kweli we ni malaika

Hao wengine nawaita kadhalikaKaa kuna mtu hii dunia ana bahati ni mimi

Najua kila mtu ataniuliza kwa nini

Manzi yangu bumba hata mi siamini

Sitaki Ruth, sitaki Ray, sitaki pia Kanini

Kushikwa nimeshikwa nikaweka mfuko

Hakuna pickpocket atanitoa huko

Ni mimi na yeye

Yeye na mimi

Tuko pamoja kama mdomo ulimi

Amekua na mimi nikikaranga chumvi

Atakuwa na mimi nikianza kunona

Sijamwona leo lakini story ni hii

Nitachukua simu yangu nimwambie hivi

NtasemaHey baby

Nataka kukuona

Sura yako infanya roho inapona

Hey Kweli we ni malaika

Hao wengine nawaita kadhalika

Hey baby

Nataka kukuona

Sura yako infanya roho inapona

Hey Kweli we ni malaika

Hao wengine na waita kadhalikaSi kila siku utapata msichana moja mzuri

Msichana amesoma 'kini hana kiburi

Msichana saa zingine anasoma zaburi

Kusikiza santuri kwake pia desturi

Kama niko naye kila kitu ni shwari

Naona poa sana ananijali hali

Ye ni upepo wangu katika jua kali

Tafadhali please nitasema ukweli

Akiniacha leo sitafuti mwingine

Mambo ya kutafuta niliacha zamani

Lakini hiyo haitafanyika jamani

Juu hata yeye najua anafikiri hiyiHey baby

Nataka kukuona

Sura yako inafanya roho inapona

Hey Kweli we ni malaika

Hao wengine nawaita kadhlika

Hey baby

Nataka kukuona

Sura yako inafanya roho inapona

Hey Kweli we ni malaika

Hao wengine nawaita kadhlikaI have eyes for only you for only you

I have eyes for only you for only you

I have eyes for only you for only youHey baby

Nataka kukuona

Sura yako inafanya roho inapona

Hey Kweli we ni malaika

Hao wengine nawaita kadhalika

Hey baby

Nataka kukuona

Sura yako inafanya roho inapona

Hey Kweli we ni malaika

Hao wengine nawaita kadhalika

Enjoy the lyrics !!!