damnlyrics.com

Kuna Siku

Kuna siku,iliyo kuu,

'Tasubiri,ikaribu

Ndiyo siku,siri zetu

Zitafichuliwa,

kila tendo ulotenda,

Liwe jema au baya,

Siku hiyo,ndugu yangu,

Litawekwa wazi

Siku hiyo ndugu ni siku ya kutisha,

Kwa wale wote walio ukataa wokovu,

Tena siku hiyo ni siku ya furaha,

kwa wale wote walio mpokea mwokozi

Kila jina siku hiyo litaitwa

Na matendo yako yote yataletwa

Utajibu ninii,nitajibu ninii

Mbele ya mahakama iliyo kuu

Mungu mwenyewe akiwa ndiye hakimu

Utajibu ninii,utajibu ninii

Siyo mbali ndugu zangu

Dalili zote zinaonyeha

Mwisho wa mambo yote U karibu

Yachunguze matendo yako,

Ufanye uamuzi leo

Mambo ya kesho huyajui

Njoooo×2

Bado kitambo tuu

Yapaswa kujitakasa

Siku hiyo ikifika

Tuwe tumetakasika

Mwokozi Yesu akija

Tumlaki kwa furaha

Karibu sana mwokozi

Njoo utuokoe

Bahari na milima vitamkimbia

Akija na utukufu wa Babye

Je!utasimama,au utakimbia?

Lakini wateule wote siku hiyo

Walio andikwa kitabu cha uzima

Watarukaruka,nami nitaruka

Siyo mbali ndugu zangu

Dalili zote zinaonyesha

Mwisho wa mambo yote U karibu

Yachumguze matendo yako

Ufanye uamuzi leo

Mambo ya kesho huyajui,

Njooo×2

Kila jina siku hiyo litaitwa

Na matendo yako yote yataletwa

Utajibu nini,Nitajibu nini

Mbele ya mahakama iliyo kuu

Mungu mwenyewe akiwa ndiye hakimu

Utajibu nini,uitajibu nini

Bahari na milima vitamkimbia

Akija na utukufu wa Babaye

Je! Utasimma,au utakimbia

Lakini wateule wake siku hiyo

Walioandikwa kitabu cha uzima

Watarukaruka,nami nitaruka

Siyo mbali ndugu zangu

Dalili zote zinaonyesha

Mwisho wa mambo yote U karibu

Yachunguze matendo yako

Ufanye uamuzi leo

Mambo ya kesho hyajui

Njooo×2

Lyrics Submitted by Kelvinabuti

Enjoy the lyrics !!!