damnlyrics.com

Mahangaiko

Mahangaiko yakizidi,

Unanifariji,

Moyo wangu ukilemewa,

Wanifurahisha,

Hata ninapoteleza,

Wewe mwenyezi Mungu,

Hautanitelekeza,

Wala hauniachi ndiyo maana nakuhitaji,

Kila wakati

Mambo yanapoteteleka,

Hukawii,

Mara moja unapotea

Unakata Kati,

(Chorus)

Hata ninapojisahau,

Wanigusa,

Wanifichua nirejee

Kwenye mstari

(Chorus)

Nikavamiwa na adui,

Huchelewi,

Haraka wanapigania,

Unanitetea

(Chorus)

Nikiomba waniskia,

Wanijibu,

Wewe Ni mwema wa ajabu,

Ni mkarimu

(Chorus)

Nataka Nione uso wako,

Kila wakati

Na nikiamka niamke nishibishwe,

Kwa sura yako,

Sigeuki nyuma sitafuti,

Mungu mwingine,

Kwani wewe hujawai kuniwacha,

Pekeyangu,

Na ndiyo maana nakuhitaji,

Kila siku

Na ndiyo maana nakukabidhi,

Kila kitu,

Na ndiyo maana nakuhitaji,

Kila wakati,

Na ndiyo maana nakuhitaji,

Kila siku,

Na ndiyo maana nakukabidhi,

Kila kitu,

Na ndiyo maana nakuhitaji,

Kila wakati

Enjoy the lyrics !!!