damnlyrics.com

Majaribu

1)Majaribu Majaribu hayana budi kutokea

Majaribu Majaribu hayana budi kutokea

(Chorus)

Lakini,,tusimame Kama Ayubu alivyo kusha kusimama

Nasema,, tusimame Kama Danieli alivyo kusha kusimama

Kwa kweli tusimame Kama Shediraki Meshaki naye Abedinego

Lakini,,tusimame Kama Ayubu alivyo kusha kusimama

Nasema,, tusimame Kama Danieli alivyo kusha kusimama

Kwa kweli tusimame Kama Shediraki Meshaki naye Abedinego

2)Majaribu ndio kipimo cha Wokovu tulio nao

Majaribu ndio kipimo cha Wokovu tulio nao

Lakini,,tusimame Kama Ayubu alivyo kusha kusimama

Nasema,, tusimame Kama Danieli alivyo kusha kusimama

Kwa kweli,, tusimame Kama Shediraki Meshaki naye Abedinego

Lakini,,tusimame Kama Ayubu alivyo kusha kusimama

Nasema,, tusimame Kama Danieli alivyo kusha kusimama

Kwa kweli,, tusimame Kama Shediraki Meshaki naye Abedinego

Lyrics Submitted by Mejja

Enjoy the lyrics !!!