Mbeba Maono - Bahati Bukuku



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Mbeba Maono Lyrics


Ndoto ya Yusufu alipowaambia ndugu zake
Maono ya Yusufu alipowaambia ndugu zake
Kwamba ameona wakimwabudu, wakimsujudia
Kwamba ameona wakimwabudu, na kumsujudia
Ndoto ya Yusufu ndicho kilikuwa chanzo
Ndoto ya Yusufu kilikuwa ni chanzo cha vita yake
Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe
Mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi naweMbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Shetani ameota ndoto ya kwamba umeshindwa
Mbinguni malaika wanashangilia ya kwamba umeshinda
Maana mbeba maono hafi, inuka Bwana ana kusudi nawe
Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
Yale maono yako juu ya familia yako
Yale maono yako juu ya kuinua kazi ya Mungu
Maono yako yako hafi

Amechukuwa nani
Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi nawe
Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana mpango naweweMbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Ndoto ya Yusufu kweli ilichelewa
Akatupwa gerezani, ndoto ilichelewa
Lakini mwisho wa siku ndoto ilitima
Wale walio mwuuza utumwani ndio walio wamwangukia tena
Yawezekana na wewe leo ndoto imechelewa
Hao wanaokudharau leo ndio watakao kuheshimu
Umebeba maono gani juu ya maisha yako
Yawezeka kuna watu wamekukatisha tamaa
Yawezeka kuna wengine wamekuvunja moyo
Maana mbeba maono hafi, inuka Mungu ana kusudi naweMbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Mbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekaneMbeba maono hafi, ni lazima yatimie
Mbeba maono hafi, ni lazima yaonekane
Song Discussions is protected by U.S. Patent 9401941. Other patents pending.

Enjoy the lyrics !!!