Mwema Kwangu - Angela Chibalonza Muliri



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Mwema Kwangu Lyrics


Nikikumbuka upendo wako kwangu, Nahisi Kama ningelikuwa na mabawa
Niruke mahali ulipo eeh Bwana nipige magoti mbele zako niabudu
Wewe ni mungu unanipenda jinzi nilivyo,
Ndio maana nakuimbia Bwana wangu
Wee ni mwema kwanguuu
Mwema kwangu
Wee ni mwema kwanguu
Mwema kwangu
You are soo good to me
So good to me Yahweh
Soo good to me
Oooh oooh Baba ninakupenda yesu
Kwa wema wako kwangu
Isingelikua ni wewe yesu shetani angelinimeza hai
Seliba na umasikini zingenimeza hai
Ninakupenda yesu ninakuabudu yesu oooh
Hakuna Kama wewe ooooooh
Upendo wako una nguvu kuliko moto hats nikipita kwenye moto sitaogopa

Tena upendo una nguvu nyingi kuliko mauti Baba
Ndio maana hata nikifa Leo nitafufukaaa
Eeh mungu Wangu unanipenda upendo
Wa bure Bwana ninakuinua Mungu wanguuu
Lyrics Submitted by Francis Thiong'o

Enjoy the lyrics !!!