Nimezama Kwa Mapenzi - Golden Star Modern Taarab



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Nimezama Kwa Mapenzi Lyrics


Nimezama kwa maapenzi,sijui kama nitazuka
Naiona yangu hali ,mimi nimedhoofika
Nimezama kwa mapenzi , sijui kama matazuka
Wenzangu nawauliza , nini dawa ya mapenzi
Waganga nimemaliza , kwa makombe na hirizi
Ilaahii mola muweza ,ataniaafu mwenyeezi
Nimezama kwa mapenzi , sijui kama matazuka.
Nimezam kwa mapenzi , sijui kama atazuka
Kujikwamua siwezi , taabani nateseeka
Ilaahi mola mwenyezi, ataniaafu rabuuka.
Nimezama nimezama, mwenzeenu katika kina
Mwenzenu katika kina , nimebaki natizama
Kwa kupenda sina tena, ilaahi mola kariima

Ataniaafu rabaana.
Nimezam nimezama, katika kina kireefu
Kila nikijitizama, moyoni napata khofu
Ilaahi mola karima, ndiyo mwenye kuniaafu.
Nimezama nimezama kwenye bahari ya huba
Moyo wangu walalama, ndani yakiti ako
Ilaahi mola karima, ataniepushia adhaba.
Naionq yangu hali, mimi nimedhoofika
Nimezam kwa mapenzi , sijui kama atazuka
Nimezama kwa mapenzi , sijui kama atazuka..
Lyrics Submitted by Idd mussa

Enjoy the lyrics !!!