damnlyrics.com

Nzilezilela

Nzilenzilela makata na muye, nzilenzilela nzilenzilela

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Ee Bwana nakuinua, nikikumbuka ulikonitoa

Kwenye maisha ya aibu, na kunifanya wa thamani

Ee Bwana nakuinua,nikikumbuka ulikonitoa

Kwenye maisha ya aibu, na kunifanya wa thamani

Kama si wewe ningekuwa wapi, kama si wewe ningeitwa nani

Ningelikuwa nimekufa mimi, kwenye shimo la uharibifu

Kama si wewe ningekuwa wapi, kama si wewe ningeitwa nani

Ningelikuwa nimekufa mimi, kwenye shimo la uharibifu

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Ni wengi niliyowajua, wenye mapesa na utajiri

Wenye majumba ya kifahari, lakini leo hawako tena

Ni wengi niliyowajua, wenye mapesa na utajiri

Wenye majumba ya kifahari, lakini leo hawako tena

Lakini mimi wanilinda bure, si kwamba nimetenda mema baba

Bali ni kwa neema yako, ndio maana mimi naishi

Sio ni kwamba nimetenda mema baba, ila ni kwa neema yako

Ndio maana mimi naishi, Wacha nikutuze wewe

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Siwezi kukulipa baba, kwa yale umenitendea

Bali naomba moyoni mwangu, nipe moyo wa kukupenda

Siwezi kukulipa baba, kwa yale umenitendea

Bali naomba moyoni mwangu, nipe moyo wa kukupenda

Niondolee kiburi baba, nipe moyo mnyenyekevu

Ili nikuishie wewe, siku zote za maisha yangu

Ili nikuishie wewe, siku zote za maisha yangu

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela

Lyrics Submitted by JimArt Smart Designs and Technology

Enjoy the lyrics !!!