DamnLyrics - The center provides all the lyrics


     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Nzilezilela Lyrics


Nzilenzilela makata na muye, nzilenzilela nzilenzilela
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Ee Bwana nakuinua, nikikumbuka ulikonitoa
Kwenye maisha ya aibu, na kunifanya wa thamani
Ee Bwana nakuinua,nikikumbuka ulikonitoa
Kwenye maisha ya aibu, na kunifanya wa thamani
Kama si wewe ningekuwa wapi, kama si wewe ningeitwa nani
Ningelikuwa nimekufa mimi, kwenye shimo la uharibifu
Kama si wewe ningekuwa wapi, kama si wewe ningeitwa nani
Ningelikuwa nimekufa mimi, kwenye shimo la uharibifu
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Ni wengi niliyowajua, wenye mapesa na utajiri
Wenye majumba ya kifahari, lakini leo hawako tena
Ni wengi niliyowajua, wenye mapesa na utajiri

Wenye majumba ya kifahari, lakini leo hawako tena
Lakini mimi wanilinda bure, si kwamba nimetenda mema baba
Bali ni kwa neema yako, ndio maana mimi naishi
Sio ni kwamba nimetenda mema baba, ila ni kwa neema yako
Ndio maana mimi naishi, Wacha nikutuze wewe
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Siwezi kukulipa baba, kwa yale umenitendea
Bali naomba moyoni mwangu, nipe moyo wa kukupenda
Siwezi kukulipa baba, kwa yale umenitendea
Bali naomba moyoni mwangu, nipe moyo wa kukupenda
Niondolee kiburi baba, nipe moyo mnyenyekevu
Ili nikuishie wewe, siku zote za maisha yangu
Ili nikuishie wewe, siku zote za maisha yangu
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Zinzilela makata na muye, zinzilela zinzilela
Lyrics Submitted by JimArt Smart Designs and Technology

Enjoy the lyrics !!!