DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Shauri yako - Les Wanyika



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Shauri yako Lyrics


Shauri Yako -les wanyika
(Lyrics in Swahili and English)
"Nilikwelezeyanga oh mama, (I used to tell you oh my lady)
Fatou, wangu mama (Fatou, my lady)
Nilikwelezeyanga oh mama,
Fatou, wangu mama
Mapenzie ya kwetu eeh (This love of ours)
haitawiana mama (Will not survive much longer)
Mapenzie ya kwetu eeh
haitawiana mama
Tabia yako na yangu (Your character and mine)
haisikilizani (Are incompatible)
Tabia yako na yangu
haisikilizani
Unaona (You need to understand)
unaona sasa we mama (You need to understand, my lady)
Unaona
unaona sasa we mama

* * * * * * * * * *
Unapenda kuvaa (You like to dress well)
Mimi sina namna oh Fatou we (I have no way to support that)
Unapenda kula vizuri (You like to dine well)
Mimi sina pesa oh Fatou we (I have no money, oh Fatou)
Nipe mali (Borrowing money)
Sizoe (I do not want to become a regular at this)
Niuwe mutu (Kill someone)
Nipate dawa ya feza (So that I can find a way to wealth)
Niuwe mutu
Watanifunga (The man will surely lock me up)
Niuwe mutu
dhambi kwa Mungu Baba (That's a sin against the Lord God)
Kama hunipendi we (If you do not love me as I am, then)
Uende lote mama (Be completely gone, my lady)
Kama hunipendi we
Uende lote mama
Shauri yako, shauri yako eeh (Its your problem)
Shauri yako, shauri yako eeh
Shauri yako
Wende lote Zena wangu (Be completely gone, my lady)
Siwezi kuua mutu mama (I cannot kill a soul, my lady)
dhambi kwa Mungu Baba yo (That's a sin against the Lord God)
Siwezi kuua mutu mama
dhambi kwa Mungu Baba yo
Shauri yako, shauri yako eeh
Shauri yako, shauri yako eeh
Shauri yako
Wende lote Zena wangu
Siwezi kuua mutu mama
dhambi kwa Mungu Baba yo
Siwezi kuua mutu mama
dhambi kwa Mungu Baba yo
(Wende lote Zena wangu!)
* * * * * * * * * * * *
Niibe mali (If I steal)
Watanifunga (The man will surely lock me up)
Niuwe mutu (Kill someone)
dhambi kwa Mungu Baba (That's a sin against the Lord God)
Kama hunipendi we
Uende lote mama
Kama hunipendi we
Uende lote mama
Shauri yako, shauri yako eeh
Shauri yako, shauri yako eeh
Shauri yako
Wende lote Zena wangu
Siwezi kuua mutu mama
dhambi kwa Mungu Baba yo
Siwezi kuua mutu mama
dhambi kwa Mungu Baba yo
(Ohhh! Zena wangu!
Wende lote Zena...)
* * * * * * * * * * *
Niibe mali
Watanifunga
Niuwe mutu
dhambi kwa Mungu Baba
Kama hunipendi we
Uende lote mama
Kama hunipendi we
Uende lote mama
Niibe mali
Watanifunga
Niuwe mutu
dhambi kwa Mungu Baba
Kama hunipendi we
Uende lote mama
Kama hunipendi we
Uende lote mama
Shauri yako, shauri yako eeh
Shauri yako, shauri yako eeh
Shauri yako
Wende lote Zena wangu
Siwezi kuua mutu mama
dhambi kwa Mungu Baba yo
Siwezi kuua mutu mama
dhambi kwa Mungu Baba yo
* * * * * * * * * * *
Niibe mali ukitaka watanifunga mama
niue mutu
dhambi kwa Mungu Baba eh
Kama hunipendi bibi yangu
uende lote mama
Kama hunipendi
Uende lote mama
Niibe mali ukitaka watanifunga mama
niue mutu
dhambi kwa Mungu eh
Kama hunipendi bibi yangu (If you do not love me, my wife)
uende kwenu mama (Go back to your family)
Kama hunipendi (If you do not love me)
uniwache yangu mama eeh (Leave me and mine)
Kama hunipendi
Cherie Mama wende lote
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh Zena wangu
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Ohhh wende lote mama
Zena wangu (My Zena)
Mtoto wa kwetu" (Child of ours)
(Composer:Mary Jebet)
Lyrics Submitted by mary kaptum

Enjoy the lyrics !!!