damnlyrics.com

Tupate Mtu Wapi

Wewe

Wewe eeh

Wewe *2

Wewe ni mtu wa maana katika dunia

Hata Kama wengine wanakudharau

Mungu aliye mbinguni anakutambua

Siku moja atakunyeshea baraka*2

Tupate wapi Tena mtu Kama huyu*2

Ambaye Mungu anakaa ndani yake*2

Ayeeh!

Nalikua mdogo na Sasa ni mkubwa

Sijawai ona mwenye haki ameachwa

Naliokoka nikiwa mdogo

Marafiki na ndugu walinipiga vitaa ooh

Wakasema Neema huwezi fika mahali

Yatakushinda wokovu huwezi

Sasa wanamwona Mungu wangu

Alivyoniketisha pahali pa wakuu

Walionibeza hawabezi Tena

Ninakula matunda ya wokovu wangu

Na wasema hakika unaye Mungu

Nami nasema na bado watasema

Tupate wapi Tena mtu Kama huyu*2

Ambaye Mungu anakaa ndani yake*2

Ayeeh!

Lyrics Submitted by Abramitos

Enjoy the lyrics !!!