Alipofika Karibu Aliona Mti - Barabara 13 Ulyankulu
| Page format: |
Alipofika Karibu Aliona Mti Lyrics
ALIPOFIKA KARIBU ALIUONA MJI - Ulyankulu Barabara 13
1.Alipofika karibu aliuona mji
Akaulilia akisema
Alipofika karibu aliuona mji
Akaulilia akisema
(Laiti),
Ungalijua hata wewe
(Katika),
Siku hii yakupasayo amani
(Laiti),
Ungalijua hata wewe
(Katika),
Siku hii yakupasayo amani
2.Lakini sasa yamefichwa machoni pako
Kwa kuwa siku zitakuja adui zako
Lakini sasa yamefichwa machoni pako
Kwa kuwa siku zitakuja adui zako
(Wata),
'pokujengea boma likuzunguke
Watakuzingira kukuhusuru pande zote
(Wata),
'pokujengea boma likuzunguke
Watakuzingira kukuhusuru pande zote
(Wata),
kuangusha chini wewe na watoto wako
Wasikuachie jiwe juu ya jiwe
Kwasababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako
(Wata),
kuangusha chini wewe na watoto wako
Wasikuachie jiwe juu ya jiwe
Kwasababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako
3.Watu wa Yerusalemu walitenda maovu
Wakamchukiza muumba wao
Watu wa kizazi hiki wametenda maovu
Wamemchukiza muumba wao
Watu wa Yerusalemu walitenda maovu
Wakamchukiza muumba wao
Watu wa kizazi hiki wametenda maovu
Wamemchukiza muumba wao
(Yesu),
Anaililia dunia ya leo
(Yesu),
Anawalilia watu wa leo
Wametenda dhambi kupindukia
Wamemchukiza muumba wao
(Yesu),
Anaililia dunia ya leo
(Yesu),
Anawalilia watu wa leo
Wametenda dhambi kupindukia
Wamemchukiza muumba wao
(Laiti),
Ungalijua hata wewe
(Katika),
Siku hii yakupasayo amani
(Laiti),
Ungalijua hata wewe
(Katika),
Siku hii yakupasayo amani
Njoo, Njoo, Njoo, Njoo!
Kwake Yesu usamehewe
Kwake Yesu utakasike
Kwake Yesu utapona
Siku moja utaingia mbinguni
Kwake Yesu usamehewe
Kwake Yesu utakasike
Kwake Yesu utapona
Siku moja utaingia mbinguni
Njoo, Njoo, Njoo, Njoo!
Kwake Yesu usamehewe
Kwake Yesu utakasike
Kwake Yesu utapona
Siku moja utaingia mbinguni.
Lyrics Submitted by Martin