DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Dunia Ina Mambo - Just a Band



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Dunia Ina Mambo Lyrics


Oh oh
Dunia ina mambo bana
Usishangae sana, sana
Tena sana, sana (eh ehe eh)
Hata mimi nashanga bana
(Hata mimi ( nashanga bana x2)
Ukiniona waniona na aibu sana,
Wasee wangu kwa mtaa wanawika bana,
Siku hizi naogopa kuomba bwana,
Juu hata mifuko za wakora zaimba hosana,
Walinipa uongo nami nikakubali nikamfuata nyuki,
Nikalimwa na asali,
Weka tumbo mbele wacha akili nyuma,
Maiti kavalia,
Walisema sikuskiza, ooMama na baba walinighusia ewe kijana,
Kuwa mwanangu jionee
Dunia ina mambo
Yao sikuyasikiza,

sasa mimi najuta,
Kweli najionea,
Dunia ina mambo
HeyChorus
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo bana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo sana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo bana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
Dunia ina mambo oooNafunga bao,
Niite pita dao,
Ubaya ya binadamu
Ni rahisi kusahau,
Changu ni chetu,
Lakini Chako ni chako,
Mtu wangu ah aah wacha vako,
Marafiki wamekuwa manafiki bana,
Najionea tena kushangaa sana
Niliacha kuwa mjinga, (nini)
Ati sasa najiringa,
Ukistaajabu ya Musa ya Firauni badoWalinambia kijana,
Jihadhari na 'limwengu
Hao walimwengu si wazuri kwako kijana,
Yao sikuyasikiza,
Sasa mimi najuta
Kweli najionea,
Dunia ina mambo
HeyDunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo bana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo sana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo bana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
Dunia ina mambo oooUkiwa nao leo marafiki ni wengi sana
Watakusifu -oo wewe kijana mzuri
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
Ukiwa hunawo wengi wanakukimbia
Na mengi kusema wewe kijana mbaya
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo)Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo bana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo sana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mambo
(Dunia ina mambo bana)
Dunia ina mambo oo
Dunia ina mamboDunia ina mambo ooo oooo wo wo wo wo wo wo
Dunia ina mambooo
Dunia ina mambo
Dunia ina mamboo
Ah aah aaah
Ah aah aaah

Enjoy the lyrics !!!

There have been a number of artists going by the name of Just A Band: (1) A Kenyan experimental band
(2) An Electro duo from Bordeaux Just a Band (1) is a house/funk/disco band formed in 2003 Nairobi, Kenya
Their career was launched with their debut album, Scratch to Reveal, in 2008. Their music has explored various musical directions such as, but not limited to jazz, hip-hop, disco and electronica. Their debut album was relatively successful.

Read more about Just a Band on Last.fm.


User-contributed text is available under the Creative Commons By-SA License and may also be available under the GNU FDL.

View All

Just a Band