DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Good Bye (feat. Q Chief) - Chege



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Good Bye (feat. Q Chief) Lyrics


Oh yeah tmk feel this song
Chege
Wowo woooh woooooo
Wowo woooh woooooo
When I close my eyes picture yako inajirudiya ah Tena
Nasita kusahau kwa matusi ulio nimwagiya ah Yaya
Tena mbele za waatu bila kujali usito wakosaah
Bora ungenieleza myself nikama nimekosaah Yaya
Basi baby goodbye tutaonana mungu akipenda tena ah
Pale tutapo kutana tusiache kusalimiyana aah
Sikutegemeya Kama siku moja utakuja nitosa ukimbiliye kuliko wengine (wowo woooh wooooo)
Nibora ungekwenda mbali kuliko ulivyo amuwa kufanya na ushikaji iih
Ambaye Ni mushikaji wakaribu uuh
Ambaye Ni rafiki nawa ndugu uuh

Ambaye anajuwa tulivyo kuwa aah
Kama chege chikunda anakichukuwa ah
Allahamdulilal kwama tusi ulilo tukanaah
Allahamdulilal kwama baya ulilo fanyiyah
Wala sija sahawu wema wote nililo kufanyiyaah
Sija sahawu mabaya yote uliyo nitendeyaah
Baby goodbye kila kitu kina mwanzo na mwisho mamaah
Baby goodbye akuna mwanzo usiyo na mwisho mamaah
Sikupenda nikate kule sikujuwa ninajisumbuwa
Nabaki nalalamika na moyo wangu uliko uchoma
Mpaka naimba kwa hisiya basi ujuwe umenizinguwaa
Washikaji mama chizi nakumbuka walivyo niambiyaah
Kama Muzik niimbe nisifate mambo ya dunia tena ah
Kama kusema waseme nime pokonya tonge mudomoni
Kwagisi ulivyo fanya sikupendi
Sikutegemeya Kama uta change (uta change)
Kwa gisi watemaskani hawakupendi
Haukufanya fear japo tuli spendi (tuli spendi)
Wowo woooh woooooo sikupendi (sikupendi)
Sikutegemeya Kama uta change eeh
Allahamdulilal kwama tusi ulini tukanaah
Allahamdulilal kwama baya ulini fanyiyah
Wala sija sahawu wema wote nililo kufanyanyi aah
Sija sahahu mabaya yote uliyo nitendeyaah
Baby goodbye kila kitu kina mwanzo na mwisho mamaah
Baby goodbye akuna mwanzo usiyo na mwisho mamaah
Wowo woooh wowo woooooo
Wowo woooh wowo woooh woooooo *4
Yeap eyo earn ricord
Big up ur sevior......
Woooh wowo
Enjoy the lyrics
[email protected] +256777368051
Lyrics Submitted by Franck Binja

Enjoy the lyrics !!!