DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Kaunyaka (feat. DJ Mapholisa) - Chege



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Kaunyaka (feat. DJ Mapholisa) Lyrics


Oolalala, oolalala, oolalalala
Wakati tuskize ni tena ni Chege na
Temba
Putu putututu, kaunyaka
Lililizilawa, nakutaka
Wanasema unaringa, wewe unaringa
Wanasema unaringa, ringa ringa we
ringa (x2)
Mi ni mpiganaji katika mapenzi
nimesimama mbele kwa ajili yako
Ukinipa sisemi usinipangepangepange
kwenye foleni
Ukinipa sisemi usinipa mi kwenye
foleni
Ukinipa sisemi usinipangepangepange
kwenye foleni
Baby gal would you come closer
I got a feeling zokutanda

I hope you know Delilah
I dont want my high catch fire *
Bora uonekane unajidai,
kugawagawa haifai
Bora uonekane unajidai, honey
kugawagawa haifai (x2)
Putu putututu, kaunyaka
Lililizilawa, nakutaka
Wanasema unaringa, wewe unaringa
Wanasema unaringa, ringa ringa we
ringa (x2)
Le leo kumbe leo, onanana
Kumbe le le oh kumbe leo, onanana
Kumbe leo, sio mkweli huyo
Huyo tapeli huyo
Leo atakupa meli oh
Kumbe leo
Tulipotoka hata jua tunapokwenda
baby nakupenda
Maonjesho ya mapenzi nayajua ya
moyoni
Mvumilivu hula mbivu ila mi siwezi
Bora unipe leo kesho uninyime
Ngoja ngoja siwezi ilimshinda asilimia
mwenzi mio atakachokipata
Papa, ndio ukimpa mwingine ndipo
sio
Nikamwambia kipara hayuko mtoto
akitanga
Kwake alieka nanga si akanipanga
Baby ntakupa meli [bahari unayo]
Baby ntakupa meli [bahari unayo]
Putu putututu, kaunyaka
Lililizilawa, nakutaka
Wanasema unaringa, wewe unaringa
Wanasema unaringa, ringa ringa we
ringa (x2)
Watabwaka watatuacha
tunaendelea, olala
Wataondoka watatuacha
tunaendelea, olala
Wataondoka watatuacha
tunaendelea, olala
Wataondoka watatuacha
tunaendelea, olala
Putu putututu, kaunyaka
Lililizilawa, nakutaka
Wanasema unaringa, wewe unaringa
Wanasema unaringa, ringa ringa we
ringa (x2)
 CHEGE LYRICS X TANZANIA

Enjoy the lyrics !!!