DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Hey! - Just a Band



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Hey! Lyrics


Hey baby
Nataka kukuona
Sura yako inafanya roho inapona
Hey Kweli we ni malaika
Hao wengine nawaita kadhalika
Hey baby
Nataka kukuona
Sura yako inafanya roho inapona
Hey Kweli we ni malaika
Hao wengine nawaita kadhalikaKaa kuna mtu hii dunia ana bahati ni mimi
Najua kila mtu ataniuliza kwa nini
Manzi yangu bumba hata mi siamini
Sitaki Ruth, sitaki Ray, sitaki pia Kanini
Kushikwa nimeshikwa nikaweka mfuko
Hakuna pickpocket atanitoa huko
Ni mimi na yeye
Yeye na mimi
Tuko pamoja kama mdomo ulimi

Amekua na mimi nikikaranga chumvi
Atakuwa na mimi nikianza kunona
Sijamwona leo lakini story ni hii
Nitachukua simu yangu nimwambie hivi
NtasemaHey baby
Nataka kukuona
Sura yako infanya roho inapona
Hey Kweli we ni malaika
Hao wengine nawaita kadhalika
Hey baby
Nataka kukuona
Sura yako infanya roho inapona
Hey Kweli we ni malaika
Hao wengine na waita kadhalikaSi kila siku utapata msichana moja mzuri
Msichana amesoma 'kini hana kiburi
Msichana saa zingine anasoma zaburi
Kusikiza santuri kwake pia desturi
Kama niko naye kila kitu ni shwari
Naona poa sana ananijali hali
Ye ni upepo wangu katika jua kali
Tafadhali please nitasema ukweli
Akiniacha leo sitafuti mwingine
Mambo ya kutafuta niliacha zamani
Lakini hiyo haitafanyika jamani
Juu hata yeye najua anafikiri hiyiHey baby
Nataka kukuona
Sura yako inafanya roho inapona
Hey Kweli we ni malaika
Hao wengine nawaita kadhlika
Hey baby
Nataka kukuona
Sura yako inafanya roho inapona
Hey Kweli we ni malaika
Hao wengine nawaita kadhlikaI have eyes for only you for only you
I have eyes for only you for only you
I have eyes for only you for only youHey baby
Nataka kukuona
Sura yako inafanya roho inapona
Hey Kweli we ni malaika
Hao wengine nawaita kadhalika
Hey baby
Nataka kukuona
Sura yako inafanya roho inapona
Hey Kweli we ni malaika
Hao wengine nawaita kadhalika

Enjoy the lyrics !!!

There have been a number of artists going by the name of Just A Band: (1) A Kenyan experimental band
(2) An Electro duo from Bordeaux Just a Band (1) is a house/funk/disco band formed in 2003 Nairobi, Kenya
Their career was launched with their debut album, Scratch to Reveal, in 2008. Their music has explored various musical directions such as, but not limited to jazz, hip-hop, disco and electronica. Their debut album was relatively successful.

Read more about Just a Band on Last.fm.


User-contributed text is available under the Creative Commons By-SA License and may also be available under the GNU FDL.

View All

Just a Band