DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Kukataliwa Ni Kubaya - Ray Kasembe



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Kukataliwa Ni Kubaya Lyrics


Kama kweli kukataliwa jamani kubaya sana
Nasitukia nimebaki kuzubaa nisijue la kufanya oooh!
Nimejinamia kama ng'ombe anayekula majani
Butwaa limenishika masikio hayafanyi kazi. oooh!
Jama wanavyonisemesha naona kama picha .
Lakini mawazo na fahamu, pale pale sina. Oooh!
Mapenzi yakikushika kumbe akili hurika.
Kama umefiwa na baba na mama siku moja. Oooh!
Natamani kula sumu..............
Lakini nakumbuka watoto wangu watabaki na nani. Oooh!
Lyrics Submitted by Kenyatta mong'are

Enjoy the lyrics !!!