Mjaribu Yesu - The Kassangas



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Mjaribu Yesu Lyrics


Mbona wasema kifo ni bora dada;
Eti rafiki amekutenga,
(Sol)Unamadeni mengi yamekusonga;
Shida na dhiki zimekwandama,
(Sol)Mawazo yako ni kujiuwa weeeeh;
Hebu subiri nikushauri, ,,
(Sol)Mjaribu yesu,
Mwambie yesu, ana uwezo, yesu nidawa pekeee.(×2)
(Sol)Wengi wasema pombe ni dawa yao;
Yakutuliza mawazo yao,
(Sol)kusema kweli ndugu pombe si dawa;
Dawa pekee ni bwanayesu {×2}
(Sol)Wengi wasema pesa ni dawa yao;
Yakutatua shida zao;
(Sol)Kusema kweli dada pesa si dawa;
Dawa pekee ni bwanayesu {×2}
(Sol)Mjaribu huyu yesu
Mwambie yesu, ana uwezo, yesu ni dawa, pekee.{×2

Enjoy the lyrics !!!