Muziki (feat. Ben Pol) - Darassa



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Muziki (feat. Ben Pol) Lyrics


(Darassa)
Rudi utotoni
Usipotembea utabebwa mgongoni
255 champion boy
Niite bwana samata
Wanaoota mapembe waongezee mkia
naukinibip tu nakupigia and let me make one thing clear
Braa braa braa sitaki kusikia
Sio simba sio chui sio mamba(haah!)
Ngozi yangu inatosha kujigamba
Na sina maneno ya kwenye khanga
Kazi juu ya kazi yani bamba tu bamba
Uzaa unaweza kuzaa kizaazaa
Sinzia na fegi uchome kibanda
Kalale uote ndoto zako za kitanda
Si bado tuko macho mida ya wanga

Funga mkanda kaza na kamba ama
Ufate nyayo uchane msamba pasua miamba pasua anga tunasemanga chambua kama karanga
Maisha na muziki
acha maneno weka muziki
Ukiwa trap ukiwa up ukiwa juu ukiwa chini piga muziki(iyeeee)
Safari na muziki(eeee)
acha maneno weka muziki(iyeeee)
Imba unachopenda na ukitaka kucheza cheza muziki
(Ben Pol)
Bambata
Shika kamata
Rumba chakacha
Na apo ka mchizi nshadata
nshadtaa
(Darassa)
Wataka kukimbia na hauna break
What do you expect
Bongo Kongo kwa tabo mbeki
Cheza rokasa ya bongo huwezi kumake
Watch yourself usije ukajiconfuse
Mzuka kuruka reggue kwenye blues
Huna mchuzi no excuse
Maisha yetu ya kila siku kama vile movie
Vitu vingine havitakangi ujuaji
Utajikuta unatandikia watu jamvi
Kusubiria embe chini ya mnazi
Kumwelewesha chizi utajipa kazi
Funga mkanda kaza na kamba ama ufate nyayo uchane msamba
Pasua miamba pasua anga
Tunasemanga chambua kama karanga
(Ben pol)
Bambata
Shika kamata
Rumba chakacha
Na apo kaa mchizi nshadata
nshadataa
(Darassa)
Wanatamani tupotee kwenye map
Tunapeleka game to the top top
As i got told yah
that we don stop don stop we don stop
Wanatamani tupotee kwenye map
Tunapeleka game to the top top
As i got told yah
that we don stop we don stop
Lyrics Submitted by simon thuo

Enjoy the lyrics !!!