DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Nipe (Rhumba Ya Pwani) - BLUE CITY MUSIQ



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Nipe (Rhumba Ya Pwani) Lyrics


EEEH EEEH EEEH
Toto kanatanga na akako dar
Ye uniita brodah na nishamanga
WEEH!
Kudanga watadanga ila kwako hawatoshi
MMMH!
Wakili hana kesi
AAAH!
Na refa hana mechi
Washa moto kiberiti toa kwenye pochi
Ujana ni moshi
NIPE GEMU NIPACHIKE GOLI
EEEH NIKAVUNJE BENKI
NIPE GEMU NIPACHIKE GOLI
EEH NIHARIBU SENTI
Kwa ajili yako wewe, tupige sherehe

Kwa ajili yako wewe, niharibu Senti
MMMH!
Baby don't stress
AAAH!
Njoo tupige densi
Rhumba ni ya pwani tunadensi kinyumbani
Inama shika lami
Muziki bila jasho tunadensi ufuoni
NIPE GEMU NIPACHIKE GOLI
Toto kanatanga na akako dar
sura ni murembo tabia shakila
kao ucheza juu kiki kishakira
kanadanga utadhani ni makanga
ka nirika ye ucheza na wababa
ka hauna pesa basi hautamanga
mi umtingia kambi niite manamba
siezi hata shot ju aashanimada
One by One Two by Two
Me plus you equals to
Nwantinti, Lovemwa, Nwantinti Lovemwa!
ye uniita brodah na nishamanga
roho inadunda walai nishapenda.
cheza mdogo dogo ziki nizoto
mdundondo ni ya pesa cheza na wazito
waiter jaza meza sii lipangi kesho
mose tenga tigaa tuanchane
Inka gusii twensi na ambaamo
rumba na wagenge hatupendi mdomo
ka ni chura cheza na msoto
ka ni lotto kufa na ndoto..
hii huwezi zima we futa jasho
(Wewe futa jasho)
Kudanga watadanga ila kwako hawatoshi
MMMH!
Wakili hana kesi
AAAH!
Na refa hana mechi
Washa moto kiberiti toa kwenye pochi
Ujana ni moshi
NIPE GEMU NIPACHIKE GOLI
EEEH NIKAVUNJE BENKI
NIPE GEMU NIPACHIKE GOLI
EEH NIHARIBU SENTI
Kwa ajili yako wewe, tupige sherehe
Kwa ajili yako wewe, niharibu Senti
MMMH!
Baby don't stress
AAAH!
Njoo tupige densi
Rhumba ni ya pwani tunadensi kinyumbani
Inama shika lami
Muziki bila jasho tunadensi ufuoni
NIPE GEMU NIPACHIKE GOLI
Lyrics Submitted by BANKS & PABLO

Enjoy the lyrics !!!

More lyrics by BLUE CITY MUSIQ