DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Paka Mapepe - East African Melody



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Paka Mapepe Lyrics


pakamapepe huyo
pakamapepe huyo
pakamapepe huyo
paka mapepe usimwandame
mapepe huyo
usimwache akujue mapepe huyo
yeye hamjue mume
mapepe huyo
mwenye fedha kwake ndume
mapepe huyo
paka mapepe usimwandame
mapepe huyo
usimwache akujue mapepe huyo
yeye hamjue mume
mapepe huyo
mwenye fedha kwake ndume

mapepe huyo
akinenda msukume
tena asikusagame
mkomeshe akukome
abaki alalame
mabibi mimi niko
siku zote mume wako
hamtoi mtu kwako
fanya ufanyavyo fanya
umweke umwekavyo
nilikwisha kukukanya
huyo siwakuridhika
huyo atachanganya
huyo atachanganya
kina shangazi na kaka
tena akisha atapenya
tena kisha atapenya
na baba atamtaka
atafanya anakofanya
mwisho atakasirika
atafanya anakofanya
mwisho atakasirika
hafai huyo hafai
kwangu mimi nikurai
hafai huyo hafai
kwangu mimi nikurai
paka huyo paka paka mapepe paka
umpe kuku na bata mwisho hatatosheka
umpe jambo geni huyo paka
atakushukuru huyo paka
atakutoroka huyo paka
akimwona panya huyo paka
Lyrics Submitted by misslee

Enjoy the lyrics !!!