Pokea - Karura Voices



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Pokea Lyrics


Pokea by Karura voices
Lyrics
Maneno ya kinywa changu na mawazo yakuabudu
Nitakushukuru Mungu Kila siku na kuabudu
Utukufu na heshima pokea
Sifa zetu ni zako Baba pokea
Utukufu na heshima pokea
Sifa zetu ni zako Baba pokea
Milele nitakuimbia wee
Mikono nakuinulia wee
Sifa nitakurudiahia wee
Eee wee Bwana.

Enjoy the lyrics !!!