Uhimidiwe - Adawnage
Page format: | ![]() ![]() ![]() |
Uhimidiwe Lyrics
Uhimidiwe Uabudiwe
We ni Bwana Milele
Sifa zako zi Kinywani mwangu
Watawala Milele
Uhimidiwe Uabudiwe
We ni Bwana Milele
Sifa zako zi Kinywani mwangu
Watawala Milele
Ni Jina gani lastahili sifa
(Yesu, ni wewe)
Aliyenena moja na likawa
(Yesu, Yesu ni Yesu)
Maswali yangu, nani mwenye majibu?
Oh oh oh oh oh ni weh ni weh
Nikilemewa nani, nitamkimbilia
(Nitamkimbilia Yesu)
Nikilemewa nani, nitamkimbilia
(Nitamkimbilia Yesu)
Uhimidiwe Uabudiwe
We ni Bwana Milele
Sifa zako zi Kinywani mwangu
Watawala Milele
Uhimidiwe Uabudiwe
We ni Bwana Milele
Sifa zako zi Kinywani mwangu
Watawala Milele
Ni Jina gani lastahili sifa
(Yesu, ni wewe)
Aliyenena moja na likawa
(Yesu, Yesu ni Yesu)
Maswali yangu, nani mwenye majibu?
Oh oh oh oh oh ni weh ni weh
Nikilemewa nani, nitamkimbilia
(Nitamkimbilia Yesu)
Nikilemewa nani, nitamkimbilia
(Nitamkimbilia Yesu)
Uhimidiwe Uabudiwe
We ni Bwana Milele
Sifa zako zi Kinywani mwangu
Watawala Milele
Uhimidiwe Uabudiwe
We ni Bwana Milele
Sifa zako zi Kinywani mwangu
Watawala Milele
Interlude
Nguvu ninazo, Mamlaka ninayo
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Nguvu ninazo, Mamlaka ninayo
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Nguvu ninazo, Mamlaka ninayo
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Nguvu ninazo, Mamlaka ninayo
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Nguvu ninazo, Mamlaka ninayo
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Nguvu ninazo, Mamlaka ninayo
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Nguvu ninazo, Mamlaka ninayo
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Ya kuangamiza, yaliyo Kinyume changu
Lyrics Submitted by Jemce Muindi
![](https://damnlyrics.com/images/space.gif)