Unanimaliza - Ray C



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Unanimaliza Lyrics


Abi dadiii
Unanimaliza wewe
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Penzi lako linimekolea sijiwezi darling
Unayonipa sijazoea sikuwachi honey
Penzi lako linimekolea sijiwezi darling
Unayonipa sijazoea sikuwachi honey
Ninapokuona me nataka
Ongeza manjonjo me na takataa
Sitaki mwingine we unanifaa
Tena kwa mwingine me sinoi

Unavyo touch touch kiunoo
Unaamsha amshaa yaliyomo
Unavyong'ata yako midomo, unanimaliza
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Sii yasikilizi maneno ya watu
Nimekupenda mwenyewe
Sii karibishi ya watu
Tumependana wenyewe
Tutaenda wote vitani vitani
Tutapambana siuutani utani
Mambo Ni mengi dunian duniani
Aiyayayayayah
Tutaenda wote vitani vitani
Tutapambana siuutani utani
Mambo Ni mengi dunian duniani
Aiyayayayayah
Sitaki mwingine we unanifaa
Tena kwa mwingine me sinoi
Unanimaliza touch touch kiunoo
Unaamsha amshaa yaliyomo
Unavyong'ata yako midomo unanimaliza
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Unanimaliza wewe wewe unanimaliza wee
Abii dadiii
Lyrics Submitted by janeth joshua

Enjoy the lyrics !!!