DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Utajiju - Juma Nature



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Utajiju Lyrics


Haya tena lile kundi lako kubwa kabisa la bongo record (records)
linakuletea tamasha zuri kabisa la mziki wa hip hop
ambalo linaletwa kwenu na msanii Juma Nature
atawarusha kinona kwa kiingilio cha shilingi elfu mbili
VERSE (JUMA NATURE)
Anatokea jamaa sijui anautaira gani
Kwani kiingilio shingapi mbona mnanichefua chefua
Tunakuchefua nini kwani ujasikia buku mbili
Sasa hiyo buku mbili si bora nikanune ubwabwa tu
Mzee starehe gharama na mziki unawatu wake
Kama pesa yako ndogo nenda tu ukanune maziwa
Uiondoe hiyo sumu yako ya maneno yako machafu
Uwaache wenye ela zao wajichane waburudike
Usivamie usivyoviweza dunia itakuadhibu hii
Sio fresh kumaind misala
Tangaza live ili tujue usionge tu na wenzio

Huo wivu wako wa sifa siku utachinjiwa baharini
Utasababisha samaki wakunyonye ulimi
Hivyo eeh bwana eeh utajiju
Kumbe mdomo ndio unaokufanya unachongachonga
Unakwenda nje ya mstari mpaka wazee wanasema unaboronga
Elewa wivu fitina vurugu zimemshinda bonga
Wamempiga juju kila siku anajifanya analonga
Ivi mnafikiri nini kukaa na kusema wenzenu
Mkuacha shughuli zenu mkaja mkaacha familia zenu
Mmeona hamna wa kusema mmeanza kusumbua wenzenu
Utajiju mi ni nani na nina asili ya nchi gani
Nikigundua we adui nakumiminia tu gun kitu gani
Dunia msumari wa moto shawambea usikuchome
La bongo mliache kama lilivyo la bush ndio hata usiliguse
We nyamaza kimya fikiria utawin vip
Ikiwa utajisahau familia yako itaishi vipi
Mdomo hamfanyi mtu kujisahau kwa fikra au kuishi kwa fitina
CHORUS
Usidhulu nafsi yako kwa kumsema mwenzio aliyetulia (aliyetulia)
Ukaipoteza time yako kwa kesi mbaya isiyo na sheria (sheria) X2
Kuyapinga mendeleo ya wenzio ni sawa na kukosa nidhamu kwa mwenzio (utajiju)
Kujifanya unajua na kubishia wenzio huku wewe unatega masikio (utajiju) X2
Lyrics Submitted by ambrozye8

Enjoy the lyrics !!!