Aniongozaye - Kurasini SDA Choir



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Aniongozaye Lyrics


Aniongozaye,amenipa nguvu,kuwa na Yesu,ni heri....
Chorus.
Ninafurahishwa naye wakati wa Rana,yakiwapo majaribu hunitia nguvu,neno lako lanitosha huniongoze,pekee yangu siwezi,nitaanguka×2.
1.Uliponitafuta sikutambua,uliponongoneza,ningejuaje..bila wito wa Yesu,ningepotea,nafurahi ni huru,nakuabudu...
2.Ninapodhamiria kurudi kwako,ninapotaabishwa na machafuko,nakumbuka zilivyo huruma zako,nafurahi ni huru,kuwa na Yesu..

Enjoy the lyrics !!!