Aniongozaye - Kurasini SDA Choir
| Page format: |
Direct link:
BB code:
Embed:
Aniongozaye Lyrics
Aniongozaye,amenipa nguvu,kuwa na Yesu,ni heri....
Chorus.
Ninafurahishwa naye wakati wa Rana,yakiwapo majaribu hunitia nguvu,neno lako lanitosha huniongoze,pekee yangu siwezi,nitaanguka×2.
1.Uliponitafuta sikutambua,uliponongoneza,ningejuaje..bila wito wa Yesu,ningepotea,nafurahi ni huru,nakuabudu...
2.Ninapodhamiria kurudi kwako,ninapotaabishwa na machafuko,nakumbuka zilivyo huruma zako,nafurahi ni huru,kuwa na Yesu..
Enjoy the lyrics !!!