Atatamani - Linah
| Page format: |
Direct link:
BB code:
Embed:
Atatamani Lyrics
Verse:
Mi napenda nisikiapo sauti yako ooh inapoimba masikioni mwangu uuuh
Nahisi kupata raha! Mi nahisi nikiwa nawe nitakuwa juu alioniacha mwanzo simfuati tena, mi naomba unipe kumbatio lako baridi lilikuwepo mwanzo lisipowepo tena. Mi nahisi ukiwa nami nitakuwa juu uuh aloniacha mwanzo simfuati tena aaah
Chorus
Atatamani niwe wake, akiniona nipo nae eeh akithubutu anifuate eeh, ukimuona rusha mawe hehehee mmmh
Verse:
Aliposema mimi wa kazi gani iih, wewe uliwaza utanipata lini iiih, baby tambua hakuja thamani yangu uuh, wewe unayefahamu naomba unipende eeh x2
REPEATING CHORUS
BRIDGE
REPEATING CHORUS
Lyrics Submitted by Rachel Mwandu
Enjoy the lyrics !!!