DamnLyrics - The center provides all the lyrics


     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Jina Lyrics


Utanieleza nini nisiliamini hili jina?
Linatoa mtu chini linampa heshima
Huu umaskini sio yangu hatima
Japo maumivu si nishukuru kwa uzima
Nitaliamini hata kama leo sina
Mambo ya rohoni wa mwilini hawezi ona
Najua mvua ipo naijenga safina
Japo maumivu najua kesho heshima
Nitaliamini hata kama leo sina
Mambo ya rohoni wa mwilini hawezi ona
Najua mvua ipo naijenga safina
Japo manung'uniko kesho heshima
Ni kweli kila kukicha ni majanga
Ni kweli moyo watangatanga
Naamini yeye aliyepanga
Nipitie haya ana mlango wa kutokea

Sina jina jingine mimi
Ila jina lake eeh
Jina lipitalo majina yote
Yeeeesu
Sina jina jingine mimi
Ila jina lake eeh
Jina lipitalo majina yote
Yeeesu(×2)
Ni kwa jina lake viwete watembea
Ni kwa jina lake vipofu wanaona
Ni kwa jina lake rafiki magonjwa yanaponywa
Huwezi nidanganya eeh
Kwa jina lake tuna ushuhuda
Kwa jina lake vita tunashinda
Na kama ni rafiki ni rafiki wa faida eeh
Huwezi nidanganya mmm
Ni kweli kila kukicha ni majanga
Ni kweli moyo watangatanga
Naamini yeye aliyepanga
Nipitie haya ana mlango wa kutokea
Sina jina jingine mimi
Ila jina lake eeh
Jina lipitalo majina yote
Yeeeesu(×5)
Lyrics Submitted by Charity Maina

Enjoy the lyrics !!!