Masumbuko Mengi - Choir Amkeni Fukeni Moshi



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Masumbuko Mengi Lyrics


Masumbuko mengi hapa duniani
Niponye(Niponye) Mwokozi(Mwokozi)
Niponye Mwana wa Mungu
Magonjwa na Dhambi Zimeniandama sana Mimi
Mawimbi ni Mengi Yako mbele yangu (Mungu Baba)
Naona uchungu mwingi, nasononeka sana
Nishike Mkono Bwana, nifike hko Mbinguni
Napenda kuona bandari ya Salama,
ya hko Binguni isiyo na masumbuko
Magonjwa na Dhambi Zimeniandama sana Mimi
Mawimbi ni Mengi Yako mbele yangu (Mungu Baba)
Naona uchungu mwingi, nasononeka sana
Nishike Mkono Bwana, nifike hko Mbinguni
Nikifika hko Binguni Kwa Baba

watnipokea kwa nyimbo na shangwe kubwa
Magonjwa na Dhambi Zimeniandama sana Mimi
Mawimbi ni Mengi Yako mbele yangu (Mungu Baba)
Naona uchungu mwingi, nasononeka sana
Nishike Mkono Bwana, nifike hko Mbinguni
Lyrics Submitted by Edwin .Muliro

Enjoy the lyrics !!!