Moyo Wangu - Emachichi
Page format: | ![]() ![]() ![]() |
Moyo Wangu Lyrics
Neno lake mwokozi ni faraja yangu
Neno lake mwokozi ni taa miguuni pangu
Hakuna mwingine anastahili,Ila yeye
Neno lake mwokozi ni faraja yangu
Neno lake mwokozi ni taa miguuni pangu
Hakuna mwingine anastahili,Ila yeye.
Moyo wangu moyo wangu, mwimidi bwana wako
Moyo wangu moyo wangu, mwimidi bwana wako
Siku zote siku zote za maisha yako
Siku zote zisku zote za maisha yako
Eee moyo.×2
Mungu was Israeli na mungu was Musa
Mwenye nguvu za ajabu na mwenyeupendo mwingi
Hakuna mwingi anastahili ila yeye
Mungu was Israeli na mungu was Musa
Mwenye nguvu za ajabu na mwenye upendo mwingi
Hakuna mwingi anastahili ila yeye
Moyo wangu moyo wangu, mwimidi bwana wako
Moyo wangu moyo wangu, mwimidi bwana wako
Siku zote siku zote za maisha yako
Siku zote zisku zote za maisha yako
Eee moyo.×2
Ndege was angani wanamwimbia
Mbingu nayo dunia tunamwabudu,
Hakuna mwingi anastahili ila yeye
Ndege was angani wanamwimbia
Mbingu nayo dunia tunamwabudu,
Hakuna mwingi anastahili ila yeye
Moyo wangu moyo wangu, mwimidi bwana wako
Moyo wangu moyo wangu, mwimidi bwana wako
Siku zote siku zote za maisha yako
Siku zote zisku zote za maisha yako
Eee moyo.×2
Neno lake mwokozi ni faraja yangu
Neno lake mwokozi ni taa miguuni pangu
Hakuna mwingine anastahili,Ila yeye
Neno lake mwokozi ni faraja yangu
Neno lake mwokozi ni taa miguuni pangu
Hakuna mwingine anastahili,Ila yeye.
Moyo wangu moyo wangu, mwimidi bwana wako
Moyo wangu moyo wangu, mwimidi bwana wako
Siku zote siku zote za maisha yako
Siku zote zisku zote za maisha yako
Nanananaana,nanananananaaana
Nanananaaanana..
Nanananaana,nanananananaaana
Nanananaaanana..
Nanananaana,nanananananaaana
Nanananaaanana..
Nanananaana,nanananananaaana
Nanananaaanana..
Lyrics Submitted by Reuben Bosire Onyancha
![](https://damnlyrics.com/images/space.gif)