DamnLyrics - The center provides all the lyrics

Sodoma Na Gomora - Pst Alex & Mary Atieno Ominde



     
Page format: Left Center Right
Direct link:
BB code:
Embed:

Sodoma Na Gomora Lyrics


Sodoma na Gomora
Sodoma na Gomora x3
Eti walifanya nini?
INSTRUMENT...............
1. Sodoma na Gomora x3
Eti walifanya nini?
Sodoma na Gomora walitenda dhambi x2
Bwana Mungu kawateketeza na moto.
CHORUS
Hiyo, hiyo njia nzuri nikumfuata Mwokozi Bwana Yesu,
Njia nzuri nikumfuata Mwokozi Bwana Yesu,
Yeye ndiye Ngome ambaye ni Imara x2
2. Wateule wa Mungu, Wana Waisiraeli,
Walipo kombolewa wengi walifanya nini?
Wengi walisahau njia zake Mungu,
Wengi walirudia zile dhambi zao,
Bwana Mungu kawaangamiza kwa hiyo.

CHORUS
Hiyo, hiyo njia nzuri nikumfuata Mwokozi Bwana Yesu,
Njia nzuri nikumfuata Mwokozi Bwana Yesu,
(Yeye ndiye Ngome ambaye ni Imara x2) X2
3. Baada ya wokovu, Msamaha wa dhambi,
Tukisha fanikiwa kweli tusifanye nini?
Kweli tusitosheke na kumtupa Mungu x2
Tusijawe kiburi na kukosa pendo.
CHORUS
Hiyo, hiyo njia nzuri nikumfuata Mwokozi Bwana Yesu,
Njia nzuri nikumfuata Mwokozi Bwana Yesu,
(Yeye ndiye Ngome ambaye ni Imara x2) X2
Lyrics Submitted by E. Michelle Oyole

Enjoy the lyrics !!!